Nonini-We Kamu - song and lyrics by Nonini Mgenge2Ru cover art
Genge

Nonini-We Kamu - song and lyrics by Nonini Mgenge2Ru

AfroMusic ·Hanyaring Game ·2001
0
Plays
0
Downloads
0
Likes
Do you wish to initiate a DMCA takedown report? Kindly send an email to contact@mziqi.com .
Share this song
#Nonini-We Kamu - song and lyrics by Nonini Mgenge2Ru

Nonini-We Kamu - song and lyrics by Nonini Mgenge2Ru


Album
Hanyaring Game
Year
2001
Genre
Uploaded
Jul 23, 2026

AfroMusic
"Afro music" is an umbrella term for contemporary popular music origin...
Nonini-We Kamu - song and lyrics by Nonini Mgenge2Ru

Lyrics We Kamu.lrc Nonini
[id: a7kcbkz]
[ar: Nonini]
[al: Best of Kenyan Music Classics, Vol. IV]
[ti: We Kamu]
[length: 04:58]

[00:24.77]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[00:29.35]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[00:34.03]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[00:38.49]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[00:43.37]
[00:43.37]Home leo utanipata jo, sitatoka
[00:45.46]Kuandika ngoma si unajua siezi choka
[00:47.86]Miezi sita nimekuwa kwa studio nikishughulikia
[00:50.02]Ngoma yako wee kamu, si unaiskia
[00:52.32]Vile iko poa kwanza kabisa hebu hiyo jacko yako toa
[00:54.90]Kuna siri yoyote unaeza like kuniambia, toboa
[00:57.14]Ushawai guzwa mahali jo ukaskie kukojoa
[00:59.33]Leo mi na wee au sio, poa poa
[01:01.55]Umesahau home ambia ule konkodi atakudondoa
[01:03.87]Kwetu hapo nje na gate yetu si ya blue
[01:06.14]Ni ya orange third floor wee angalia tu juu
[01:08.53]Lakini uchunge huku ni Calif watu wanaeza shuku
[01:10.79]Wee ni mgondi ukakatwa shingo style ya kuku
[01:13.22]Hiyo kichwa yako inachemshwa wazee wanakunywa supu
[01:15.48]Naeza tembea chupa zimevunjika, mguu tupu
[01:17.75]Nijifanye sugu 'saabu yako tu, 'saabu yako tu
[01:21.26]
[01:20.24]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[01:24.84]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[01:29.41]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[01:34.00]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[01:38.88]
[01:38.42]Ushai chotwa na gari
[01:40.58]Niko poa sana sijakucheki ni ka nimechotwa na gari
[01:43.42]Niambie leo tu utakam jo tafadhali
[01:45.65]Home hakuna bathtub, si shower afadhali
[01:48.02]Leo lazima inibambie wapi, kwa bafu
[01:50.20]Leo lazima inibambie wapi, kwa bafu
[01:52.30]Na round hii niko mbele usifanye niongee uchafu
[01:54.56]Chali yako leo lazima atajua maana ya bafu chafu
[01:56.86]Nyama choma leo tunaikula hivyo kavu kavu
[01:59.31]Wee kamu tu, wee kamu tu
[02:01.42]Wee ni mpoa tu sana mbona choo huendangi
[02:03.78]Na ka wee huenda kitu hutoka niekee kiasi yake
[02:06.02]Cream hapo hapo na usiseme jo mi huvuta bhangi
[02:08.44]Kutoka home leo nywele yako itakuwa shaggy
[02:10.77]Mtu yoyote akikuuliza ulikuwa wapi utasema nini utasema nini
[02:15.25]Nilikuwa natuma salamu kwa baba na mama kwa kina Nonini
[02:18.77]
[02:17.67]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[02:22.37]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[02:26.94]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[02:31.22]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[02:36.10]
[02:35.93]Kuna food poa hapa na unapika
[02:38.48]Na usivae jeans imeku imekushika
[02:40.86]Juu ya meza leo lazima uta utakatika
[02:43.06]Bila kitu tukiskiza maneno maneno kwisha
[03:00.14]Na ukuje pekee yako jo usikuje na beste zako
[03:02.56]Sitaki kombi leo nakutaka wee pekee yako
[03:04.89]Usiseme unaenda wapi, sitaki noma na mathako
[03:07.36]Sema unaenda libu, staki noma na budako
[03:09.78]Anajua si ni mabeste na hiyo ni poa
[03:11.66]Nikifungua mlango tu hivi anza kutoa
[03:14.09]Si unakumbuka ile chakula nilikuambia inaeza ngoja
[03:16.41]Kuna ingine tamu hapa ukitaka unaeza onja
[03:18.68]Pole pole jo hujui inaweza kunyonga
[03:20.98]Umejaza mingi kwa mdomo mpaka unashindwa kubonga
[03:23.29]Tulia tulia tulia tulia
[03:25.53]Wacha nifungue mlango kuna mtu anagonga
[03:28.82]
[03:28.02]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[03:32.54]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[03:37.25]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[03:41.84]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[03:46.38]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[03:50.82]Kwa hivyo ukitaka aah
[03:55.78]
[03:55.58]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[04:00.50]Kwa hivyo ukitaka aah
[04:04.63]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[04:09.27]Kwa hivyo ukitaka aah
[04:14.05]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[04:18.68]Kwa hivyo ukitaka aah
[04:23.48]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[04:27.95]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[04:32.66]Leo niko kwa keja sitoki hapa
[04:37.20]Kwa hivyo ukitaka we we we we kamu
[04:41.76]Nonini uko kwa keja nakutaka kwa hivyo akiku aah
[04:48.63]We we we we kamu
[04:51.46]

Year of Release: 2018