Sipangwingwi by Exray Taniua feat. Trio Mio, Ssaru-Mp3 Download cover art
Genge

Sipangwingwi by Exray Taniua feat. Trio Mio, Ssaru-Mp3 Download

mziqi ·Sipangwingwi ·2026
0
Plays
0
Downloads
0
Likes
Do you wish to initiate a DMCA takedown report? Kindly send an email to contact@mziqi.com .
Share this song
##Blackmarket #genge #maishaniyangu "SIPANGWINGWI" |#maishaniyangu #Triomio #ssaru #genge #Blackmarket

#Blackmarket #genge #maishaniyangu
"SIPANGWINGWI" || Exray new single banger featuring ‪@TrioMioOfficial‬ & ‪@sylvia_saru‬


Album
Sipangwingwi
Year
2026
Genre
Uploaded
Jul 16, 2026

mziqi
Stream and download thousands of songs from Afrobeats to Bongo Flava, Gospel to ...
Exray Taniua – Sipangwingwi Lyrics (Ft. Ssaru, Trio Mio)
[Chorus - Exray Taniua]
Maisha ni yangu
We shughulika na yako
Napenda za kwangu
We shughulika na kwako

Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi

[Verse 1 - Exray Taniua]
Unataka mtu simple humble, rich young
Ndo upeane namba
Unataka mtu mdark, mlight mtall
Beb tafuta wababaz

Unaplan future yetu kumbe uko alone
Maisha ni safari mi na ride along
Labda mi niomoke nikuitage form
Ama labda we uomoke nikujage home

Mi nayo pombe siwezi onja
Aiii nakunywa yote
Na akiamua kukupatia
Aiii chukua yote

[Chorus - Exray Taniua]
Maisha ni yangu
We shughulika na yako
Napenda za kwangu
We shughulika na kwako

Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi

[Verse 2 - Trio Mio]
Mi sipangwingwi, kijana ni gwiji
Utapangaje morio ana kashilingi kwa wingi
Mafeelings za nini mi ni jangili kamili
Nasuka mamdenge za matajiri wa mjini

Samahan
Chai fupi nmejaza maziwa (na majan)
Sikusuki mi ni Trio Mio (watagwan)
Ka hunijui unajifanya bombo (haja gan)
Abiria nawapanga ka makanga wa Kasaran

Ama vijiti za viberiti ndani ya boxdem
Wanga stishiki naget mabinti nawachokdem
Washa ngwariti tuskie fiti adi shokdem
Cheza na mangoksdem

[Chorus - Exray Taniua]
Maisha ni yangu
We shughulika na yako
Napenda za kwangu
We shughulika na kwako

Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi

[Verse 3 - Ssaru]
Ah mi sitambui mbui, mi mchana buibui
Nikiwa mababi mahali leta maruirui
Na niko na mashoga kibao nataka madui dui
Sitaki kifisi niko bongo nasaka chui chui

Ukitaka mizuka, mimi ndo hooker
Tena nagwara nikidara nina vikucha
Hiki kichupa shika na kupa
Na wanapenda ukipapia baba pupa

Naishi nitakavyo ondoa vikwazo
Ukiona najidai jua kujikopa ndo chanzo
Nikishika ngiri natesa na majigambo
Ju naona siku hizi ganji mnasafisha kwa mitambo

[Chorus - Exray Taniua]
Maisha ni yangu
We shughulika na yako
Napenda za kwangu
We shughulika na kwako

Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi
Mi sipangwingwi, sipangwingwi