#Blackmarket #genge #maishaniyangu
"SIPANGWINGWI" || Exray new single banger featuring @TrioMioOfficial & @sylvia_saru
Exray Taniua – Sipangwingwi Lyrics (Ft. Ssaru, Trio Mio) [Chorus - Exray Taniua] Maisha ni yangu We shughulika na yako Napenda za kwangu We shughulika na kwako Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi [Verse 1 - Exray Taniua] Unataka mtu simple humble, rich young Ndo upeane namba Unataka mtu mdark, mlight mtall Beb tafuta wababaz Unaplan future yetu kumbe uko alone Maisha ni safari mi na ride along Labda mi niomoke nikuitage form Ama labda we uomoke nikujage home Mi nayo pombe siwezi onja Aiii nakunywa yote Na akiamua kukupatia Aiii chukua yote [Chorus - Exray Taniua] Maisha ni yangu We shughulika na yako Napenda za kwangu We shughulika na kwako Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi [Verse 2 - Trio Mio] Mi sipangwingwi, kijana ni gwiji Utapangaje morio ana kashilingi kwa wingi Mafeelings za nini mi ni jangili kamili Nasuka mamdenge za matajiri wa mjini Samahan Chai fupi nmejaza maziwa (na majan) Sikusuki mi ni Trio Mio (watagwan) Ka hunijui unajifanya bombo (haja gan) Abiria nawapanga ka makanga wa Kasaran Ama vijiti za viberiti ndani ya boxdem Wanga stishiki naget mabinti nawachokdem Washa ngwariti tuskie fiti adi shokdem Cheza na mangoksdem [Chorus - Exray Taniua] Maisha ni yangu We shughulika na yako Napenda za kwangu We shughulika na kwako Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi [Verse 3 - Ssaru] Ah mi sitambui mbui, mi mchana buibui Nikiwa mababi mahali leta maruirui Na niko na mashoga kibao nataka madui dui Sitaki kifisi niko bongo nasaka chui chui Ukitaka mizuka, mimi ndo hooker Tena nagwara nikidara nina vikucha Hiki kichupa shika na kupa Na wanapenda ukipapia baba pupa Naishi nitakavyo ondoa vikwazo Ukiona najidai jua kujikopa ndo chanzo Nikishika ngiri natesa na majigambo Ju naona siku hizi ganji mnasafisha kwa mitambo [Chorus - Exray Taniua] Maisha ni yangu We shughulika na yako Napenda za kwangu We shughulika na kwako Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi Mi sipangwingwi, sipangwingwi